Mchezaji Nizar Khalfan wa timu ya Taifa Stars akichuana na mchezaji Frasisco Masinga wa Msumbiji The "Mambas"
wakati wa mchezo wao wa kuwania kufuzu katika fainali za kombe la
mataifa ya Afrika yatakayofanyika nchini Afrika Kusini unaofanyika
kwenye uwanja wa Taifa.
Hivi sasa ni Kipindi cha pili na timu zinatoshana nguvu kwa kuwa na
matokeo ya 1-1 katika kipindi cha kwanza kilichomalizika, hebu tuangalie
kipindi hiki cha pili huenda kikabadilisha matokeo, hata hivy timu ya
Msumbiji inaonekana kumiliki sana mpira hasa katika nafasi ya Kiungo
RAIS SAMIA AIPA TANROADS BIL 66 KUANZA UREJESHAJI MIUNDOMBINU YA BARABARA
ILIYOHARIBIKA
-
Na Mathias Canal
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia Suluhu Hassan ametoa
Bilioni 66 kwa ajili ya kuanza urejeshaji wa miundombinu ya bar...
19 minutes ago