Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Friday, October 16, 2015

Mkutano wa Baraza la Vyama Vya Siasa Tanzania.Zanzibar.


Viongozi wa Meza Kuu wakiwa wamesimama wakati wa kuomba Dua Mkutano huo wa Baraza la Viongozi wa Vyama vya Siasa Tanzania uliovikutanisha Viongozi wa Vyama 22 vya Siasa Tamzania uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya bwawani Zanzibar.wa kwanza Jaji Lubuva Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Mzirai na Msajili Msaidi wa Vyama vya Siasa Tanzani Mhe Ibrahim Mkwawa.
Mmoja wa Viongozi wa Vyama vya Siasa Tanzania akiuombea Mkutano huo wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Bwawani Zanzibar. ukizungumzia maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 
 Viongozi wa Vyama vya Siasa wakiitikia dua kabla ya kuaza kwa mkutano huo kuutakia baraka 

 Katibu wa Baraza la Vyama vya Siasa Mhe. Jaji Francis S.K. Mutungi, akizungumza kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania Mhe Peter Mzirai kuaza kwa kikao hicho kilichofanyika katika ukumbi wa hoteli ya Bwawani Zanzibar na kuwashirikisha Viongozi wa Vyama 22 vya Siasa Tanzania.
Viongozi wa Vyama vya Siasa wakimsikiliza Mtoa Mada Msaidizi Msaidi wa Vyama vya Siasa Tanzania Mhe Ibrahim Mkwawa, akiwasilisha mada ya Maadili iliotiwa saini na Viongozi wa Vyama vya Siasa kuhusiana na Uchaguzi Mkuu wa Tanzania unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu.
Msajili Msaini wa Vyama vya Siasa Tanzania Mhe Ibrahim Mkwawa akiwasilisha Mada ya Maadili ya Vyama vya Siasa kuhusiana na Uchaguzi Mkuu wa Tanzania mkutano huo umefanyika katika ukumbi wa hoteli ya bwawani Zanzibar na kuwashirikisha Viongozi wote wa Vyama vya Siasa vinavyoshiriki Uchaguzi Mkuu mwezi huu. 
Viongozi wa Vyama vya Siasa wakifuatilia Mkutano Huo. katika ukumbi wa hoteli ya bwawani Zanzibar.
Viongozi wa Vyama vya Siasa wakiwa makini wakifuatilia mkutano huo wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania ukizungumzia Maadili ya Uchaguzi Mkuu wa Tanxzania unaotarajiwa kufanyika mwishoni mwa mwezi huu.

 
Viongozi wa Chama cha TADEA wakifuatila mkutano huo wa Baraza la Vyama vya Siasa Tanzania. 
Viongozi wa Chama cha AFP wakifuatilia mkutano huo kwa makini unaozungumzia Maadilidi ya Uchaguzi kwa Vyama vya Siasa Tanzania uliofanyika katika ukumbi wa hoteli ya bwawani Zanzibar.
Imetayarishwa na OthmanMapara.Blogspot Zanzinews.com.
Mobeli No 0777 424152 or 0715424152
Email, othmanmaulid@gmail.com.

No comments:

Post a Comment