Kwa taarifa zilizotufikia jana usiku kutoka Mkoani Singida zinasema kuwa kuna ajali imetokea eneo la Shelui, ikihusisha basi la Takbir lililokuwa likitokea Dar kwenda Mwanza.Habari za mwanzo zinasema kuwa kuna watu wamepoteza maisha na wengine wamejeruhiwa kutokana na ajali hiyo.
SERIKALI KUANZISHA MFUMO WA PAMOJA KODI YA JENGO NA ARDHI
-
Na. Josephine Majura, WF, Dodoma
Serikali imesema kuwa inaandaa mfumo wa kielektroniki wa kutoa ankara ya
pamoja kwa huduma zinazolandana ili kuondoa us...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment