Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, December 3, 2015

MODEWJI FOUNDATION YASAIDIA UJENZI WA MADARASA KITUO CHA MAFUNZO CHA FURAHIN

Mkurugenzi wa kituo cha mafunzo cha Furahini kilichopo Kisangara wilayani Mwanga,Isack Msuya akimuongoza Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation iliyoanzishwa na mfanyabiashara Mohamed Dewji,Francesca Tettamanzi kutembelea eneo kilipojengwa kituo hicho.
Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akiwa ameambata na wafanyakazo wa kampuni ya METL  walipotembelea kituo cha mafunzo cha Furahini cha wilayani Mwanga.

 
Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akitembelea majengo hayo yaliyojengwa kwa msaada wa Modewji Foundation.
Majengo ya Madarasa katika kituo cha elimu cha Furahini cha wilayani Mwanga yaliyojengwa kwa msaada wa Kampuni ya Mohamed Enterprises .
Afisa Udhibiti wa Ubora wa elimu ya msingi wilaya ya Mwanga ,Richard Joachim akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kituo cha mafunzo cha vijana cha Furahini klichopo Kisangara wilayani Mwanga.
Baadhi ya wanafunzi wanaosoma katika kituo hicho.
Mwanafunzi Maureen Festo akisoma risala mbele ya mgeni rasmi ,Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi (hayupo pichani).
Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akifuatilia risala iliyokuwa ikisomwa na wanafunzi wakati wa uzinduzi wa kituo hicho.
Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akipena mikono na wanafunzi mara baada ya kumaliza kusoma risala.
Mkurugenzi wa Kituo cha Mafunzo cha Furahini kilichopo Kisangara wilayani Mwanga,Isack Msuya akizungumza wakati wa usinduzi wa kituo hicho.
Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi aliyekuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa kituo cha Furahini Youth Learning Center akizungumza katika uzinduzi huo.
Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akifungua mfano wa hundi kwa ajili ya kukabidhi kwa mkurugenzi wa kituo hicho.
Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akizungumza jambo mara baada ya kukabidhi kibao kinachoonesha msaada uliotolewa kwa kituo hicho cha ujenzi wa madarasa ya kituo .
Meneja uendeshaji wa Modewji Foundation ,Francesca Tettamanzi akimkabidhi mkurugenzi wa kituo cha Mafunzo cha Furahini ,Isack Msuya mfano wa hundi ya kiasi cha sh Mil 7.7.
Mchungaji Kajuna akitoa neno wakati wa uzinduzi wa kituo hicho.
Wawakilishi wa METL wakiwa katika picha ya pamoja na walimu wa kito hicho pamoja na wanafunzi .
Wakiwa katika picha ya pamoja.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii Kanda ya Kaskazini.

No comments:

Post a Comment