Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Wednesday, December 16, 2015

TIGO YAKIPIGA TAFU KITUO CHA KULEA WATOTO ALBINO MKOANI SHINYANGA

Sehemu ya chakula mchele,unga na maharage tani 3.9,mafuta ya kupikia lita 100 na sabuni katoni 5,kilichotolewa   na kampuni ya mtandao wa simu za mkononi wa Tigo kwa kituo cha kulelea watoto yatima na wenye albinism cha  Buhangija mkoani  Shinyanga

Wafanyakazi wa kampuni ya mtandao wa simu za mkononi wa Tigo  wakiwa kwenye picha ya pamoja na watoto yatima na wenye  albinism katika kituo cha Buhangija mkoani Shinyanga,baada ya  kuwapa msaada,ambapo walitoa mchele,unga na maharage tani   3.9,mafuta ya kupikia lita 100 na sabuni   katoni  5

Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa Ali Maswanya akiwakabidhi sehemu ya msaada kwa watoto yatima na wenye albinism katika  kituo cha Buhangija mkoani Shinyanga,ambapo walitoa  mchele,unga na maharage tani 3.9,mafuta ya kupikia lita 100  na sabuni katoni  5


Watoto yatima na wenye albinism cha Buhangija mkoani  Shinyanga,wakicheza kwenye tufe la tigo,baada ya kupokea  msaada wa chakula,ambapo wafanyakazi wa tigo walitoa
mchele,unga na maharage tani 3.9,mafuta ya kupikia lita 100  na sabuni katoni 5




Watoto yatima na wenye albinism cha Buhangija mkoani 
Shinyanga,wakiwa wamevaa fulana za tigo,baada ya kupokea 
msaada wa chakula,ambapo wafanyakazi wa tigo walitoa 
mchele,unga na maharage tani 3.9,mafuta ya kupikia lita 100 
na sabuni katoni 5
Mkurugenzi wa Tigo Kanda ya Ziwa Ali Maswanya akizungumza na  watoto yatima na wenye albinism katika kituo cha Buhangija  mkoani Shinyanga  wakati wa kutoa msaada kwenye kituo cha  kulelea ,ambapo mchele,unga na maharage tani 3.9,mafuta ya  kupikia lita 100 na sabuni katoni 5,kushoto ni Meneja wa Tigo  mikoa ya Shinyanga,Tabora na Kigoma Kamara Kalembo na Meneja  Huduma kwa wateja kanda ya ziwa Beatrice Kinabo(kulia)

No comments:

Post a Comment