Upelelezi ukiwa bado unaendelea kufuatia ufisadi wa kupitishwa kwa makontena takribani 350 bandarini bila kulipia ushuru. Jana jeshi la polisi limewakamata wafanyakazi wa TRA ambao ndio wanahusika na upitishaji wa makontena pale bandarini. Taarifa za awali zinasema idadi ya wafanyakazi hao walioswekwa ndani inakadiriwa kuwa ni 27.
KATIBU TAWALA SAME AONGOZA UPANDAJI MITI KUELEKEA KUSHEREHEKEA MIAKA 60 YA
MUUNGANO
-
Na Mwandishi Wetu,Same
KATIBU Tawala wa Wilaya ya Same mkoani Kilimanjaro, Upendo Wella amesema
katika kipindi cha miaka 60 ya Muungano, Serikali ya Jamhur...
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment