Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Tuesday, January 26, 2016

WAZIRI MKUU ATOA HESHIMA ZA MWISHO KWA MWANASHERIA WA BUNGE

 Baadhi ya waombolezaji walioshiriki katika ibada ya kumwombea aliyekuwa Mshauri Mkuu wa Masuala ya Sheria wa Bunge, maerehemu Oscar Mtenda iliyofanyika nyumbani kwake mjini Dodoma Januari 26, 2016.
 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mshauri Mkuu wa Masuala ya Sheria wa Bunge, marehemu Oscar Mtenda nyumbani kwa marehemu mjini Dodoma Januari 26, 2016. 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa akiwapa pole wafiwa baada ya kutoa heshima za mwisho kwa aliyekuwa Mshauri Mkuu wa Masuala ya Sheria wa Bunge, 

 
marehemu Oscar Mtenda nyumbani kwa marehemu mjini Dodoma Januari 26, 2016. 
(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment