Mshindi wa pili kitaifa katika Matokeao ya kidato cha nne mwaka 2015, mtanzania mwenye asili ya China, CongCong Wang kushoto) akiwa na mama yake mara baada ya kutangazwa jana matokeo hayo. Amemaliza kidato cha nne Feza Girls. Picha na Lovennes Bernard.
VICTORIA FOUNDATION YAKABIDHI TAULO ZA KIKE KWA SHULE 25 MKOANI GEITA.
-
Taasisi ya Victoria Foundation kwa kushirikiana na Orica Tanzania
inatekeleza mradi wa hatua kwa hatua uitwao Binti Ng'ara, kwa ajili ya
kumsaidia mtoto wa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment