MALAWI YAINYUKA HARAMBEE STARS 2-0 UWANJA WA TAIFA
Steve Chagoma kulia wa timu ya Malawi akivaana na Paul Were wa Harambee Starskatika
mchezo wa kombe la TUSKER CECAFA CHALLENGE CUP 2011 uliofanyika leo
jioni kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam huku timu ya Malawi
ikiibuka na magoli 2-0 dhidi ya Harambee Stars ya Kenya.
(PICHA NA MOHAMED MAMBO-DAR ES SALAAM)
Bob Mugalia wa Harambee Stars akimruka mlinda mlango wa timu ya Malawi Charles Swini katika mchezo wa mashindano ya Kombe la TUSKER CECAFA CHALLENGE CUP 2011 uliofanyika kwenye uwanja wa Taifa leo jioni.
wachezaji wa malawi na Kenya wakipambana vikali kwenye goli la malawi katika mchezo huo uliofanyika jioni ya leo kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam
No comments:
Post a Comment