Rais
Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akishiriki katika mazishi ya kada wa CCM
mzee Azzan Ally Mangushi yaliyofanyika katika makaburi ya Kisutu jijini
Dar es Salaam leo mchana. Mzee Mangushi aliwahi pia kuwa mjumbe wa
Halmashauri kuu ya CCM wilaya ya Kinondoni.
Profesa Mapesa ndani ya Banda la TIA Maonesho ya Wiki ya Kitaifa Elimu
,Tanga
-
Mkuu wa Chuo cha Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere (MNMA) Profesa Haruni Mapesa
akisaini Kitabu wakati alipotembelea Banda la TIA katika Wiki ya Elimu
Kita...
20 hours ago

No comments:
Post a Comment