WATU WANNE WALIYOMUIBIA NGUO NA KUMKATA VIDOLE SHARO MILIONEA WAKAMATWA....
Watu wa nne wamekamatwa na jeshi la police wakiwa na Baadhi ya vitu alivyokuwa navyo marehemu Sharo Milionea kama vile Jeans,T-Shert,Viatu,Simu ya mkononi,Pete,Cheni,Tairi moja la gari,pamoja na Battery la gari alilopatanalo ajali marehemu Sharo Milionea....Inasemekana
watu hao waliposhindwa kumvua Pete vidoleni walimkata vidole
vyake....Watuhumiwa hao walikuwa sita wamekamatwa wanne bado wawili
waliokimbia na pesa alizokuwa nazo Maremu Sharo Milionea...
No comments:
Post a Comment