Jeshi la Polisi Tanzania limewakamata zaidi ya wasichana wapatao 22 eneo
la Mwananyamala karibu na geti la Mwananyamala hospitali akiwemo mama
mtu mzima anayekadiliwa kuwa na umri wa miaka 70 ambaye alikuwa
anamiliki jumba lenye zaidi ya vyumba 40 ambalo utumika kufanyia ukahaba
maarufu kama danguro.
KAMATI YA BUNGE YA SHERIA YATEMBELEA KONGANI YA BUZWAGI NA KUPONGEZA
BARRICK KWA KUFUNGA MGODI KITAALAMU
-
Wabunge kutoka Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Utawala, Katiba na Sheria
wakitembelea maeneo mbalimbali walipofanya ziara ya kikazi ya kujionea
maendeleo ya ...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment