Filamu aliyoigiza marehemu Sajuki na mke wake Wastara ‘Kivuli’leo imeingia sokoni rasmi. Filamu hiyo iliyotayarishwa na Wajay Film Co na kusambazwa na kampuni ya Steps imewahusisha pia waigizaji Slim Omary na Mohammed Said.
APRM YAKUTANA NA VIONGOZI WA WANAFUNZI KUJADILI NAFASI YA VIJANA KATIKA
UTAWALA BORA
-
Katibu Mtendaji wa Mpango wa Hiari wa Nchi za Umoja wa Afrika wa
Kujitathmini kwa Vigezo vya Utawala Bora (APRM) Tanzania, Bw. Lamau Mpolo,
amekutana na...
57 minutes ago


No comments:
Post a Comment