Kama ulikuwa hujui mtuwangu wa nguvu mwezi uliopita MH .TEMBA alikuwa kati ya watu walioibiwa vifaa vya gari ambalo pia picha zake nilizi weka kwenye webst .Hii leo Temba ameamplify kupitia amplifaya kuibiwa vitu vya gari lake kwa mara ya tano.Mara ya kwanza aliibiwa akiwa na suzuki mikocheni mara ya pili akiwa na gari aina ya Gx100 akiwa diamond jubilee mara ya tatu chango’mbe akiwa na gari aina ya Gx110 mara nne Gx100.na mara ya tano Temba ameibiwa jana nyumbani kwake.
Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe Kuendesha Kambi ya Madaktari Bingwa na
Bingwa Bobezi
-
*Njombe: Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe imetangaza kuendesha kambi
maalum ya madaktari bingwa na bingwa bobezi kuanzia tarehe 23 hadi 27 Machi
2026...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment