Pages

Wednesday, February 20, 2013

HIVI NDIVYO WANAFUNZI WALIVYOCHORA PICHA KATIKA KARATASI ZA KUJIBIA MTIHANI WA KIDATO CHA NNE.



Joyce Ndalichako adai
Clouds FM imechangia
yaliyotokea Kidato cha
Nne!
- Adai walimpa 'Promo'
kijana aliendika matusi na
"Bongo Flavor" katika
mtihani wake wa Kidato
cha Nne Mwaka jana kwa
kumfanyia interview katika
moja ya vipindi vyake.
- Adai kuwa hatua hiyo ya
Clouds FM imechangia
uandikaji wa matusi kwa
watahaniwa wa mwaka
huu

No comments:

Post a Comment