Francis
Joseph Nyerere, ambaye ni kitindamimba wa Mzee Joseph Nyerere,
amepandisha bendera ya Chadema nyumbani kwao, Mwananyamala jijini Dar es
Salaam. Katika picha hii ni wa kwanza kushoto mwa bendera. Kushoto
kwake ni Mpiganaji Tundu Lissu wakati wa uzinduzi wa Tawi hilo. Francis anaungana na Vincent ambaye ni mbunge wa Musoma Mjini (Chadema).
WADAU WA LISHE WATAKIWA KUSHIRIKIANA KUTEKELEZA ELIMU YA LISHE SUMBAWANGA.
-
WADAU wote wa lishe wa Manispaa ya Sumbawanga mkoani Rukwa wametakiwa
kuendelea kushirikiana katika utekelezaji wa elimu ya lishe unaotolewa
katika jamii...
13 minutes ago

No comments:
Post a Comment