Mkurugenzi
wa mashindano wa TFF Saidi kawemba amesema ‘tumekubaliana kabisa kwamba
kila mtu ataleta timu yake ya kwanza na kushindwa kufanya hivyo kuna
adhabu zake tumekubaliana, wakati huu tunaamini kila club inafanya
jitihada za kusajili na kuleta vifaa vyake vinavyoaminika kuwa vizuri,
tunasubiri hiyo December 21 tuone’
Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 yasherekewa kwa Kishindo- Kilombero Sugar
-
WAFANYAKAZI Wanawake kutoka Kampuni ya Sukari Kilombero walikusanyika
kusherehekea Siku ya Kimataifa ya Wanawake 2026 chini ya kauli mbiu “Give
to Gain” Tu...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment