MSANII MAARUFU WA KUNDI LA FUTUHI MZEE DUDE AFARIKI DUNIA
Mzee Dude enzi za uhai wake.
MSANII
wa kundi maarufu la vichekesho na uigizaji la Futuhi, Mzee Dude
amefariki dunia akiwa katika Hospitali ya Rufaa Bugando iliyopo jijini
Mwanza leo jioni!
Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema peponi. AMEN!
WALIMU WA ZANZIBAR WATEMBELEA TANGANYIKA DC
-
Walimu kutoka Zanzibar wamewasili Halmashauri ya Wilaya ya Tanganyika kwa
ziara ya mafunzo na kubadilishana uzoefu na wataalam wa elimu, ili
kuimarisha mbi...
-
*MAENDELEO BANK - PLC, inatarajia kufanya Mkutano mkuu wa 4 wa mwaka
Mkutano huo utakaowakutanisha Wanahisa wote utafanyika Juni 23 mwaka huu
kwenye ukum...
No comments:
Post a Comment