| Wachimbaji wakiandamana leo wilayani Nzega mkoani Tabora.
Jeshi la
polisi wilayani Nzega mkoani Tabora limetumia nguvu kusambaratisha
maandamano ya wachimbaji wadogo wa madini ya dhahabu yaliyolenga kupinga kufungwa kwa machimbo yao ya Mwashina yaliyo jirani na mgodi wa Resolute Tanzania Limited wilayani Nzega.
Mara
baada ya kukaribia katika eneo la machimbo ambako maandamano yalikuwa
yanaelekea,kabla hata hawajafika eneo la machimbo,ghafla polisi
waliibuka na kuanza kurusha mabomu hovyo na baadaye kumkata mbunge wa
jimbo la Nzega Dkt Hamis Kigwangalla ambaye kabla ya kuanza kwa
maandamano hayo alifanya mkutano wa hadhara katika kijiji cha Nzega
ndogo ili kujua mstakabali wa wachimbaji hao ambao hivi karibuni
waliziuiwa kuchumba na kamishana wa madini nchini Paul Masanja kwa kile
kilichotajwa kuwa wamevamia eneo hilo
|
SERIKALI YAAGIZA KUONGEZA KASI UFUATILIAJI MAGONJWA YA MFUMO WA NJIA YA HEWA
-
Na Hassan Kimweri, WAF - Morogoro
Serikali kupitia Wizara ya Afya imeziagiza Hospitali za Rufaa za Mikoa,
Taifa, Wilaya na Vituo vya Afya kuongeza kasi y...
54 minutes ago

No comments:
Post a Comment