Ismaaiyl Brinsley, 28, anayo historia ya matatizo ya akili
na ujambazi huko nyuma Muuaji aliwauwa polisi waliokuwa wamekaa ndani ya gari
yao ya polisi na baadae Brinsley kukimbilia kwenye kituo cha Treni na kujipiga
risasi na kufa papo hapo baada ya kuwaona
hana pakutokea baada yakuzingirwa na polisi eneo hilo. Watu waliokua karibu na
tukio walimsikia muuaji akiwaambia "watch what I'm going to do" na
baada ya maneno hayo ndipo alipowaua polisi hao kwa kuwapiga risasi vichwani na
juu mwilini maeneo ya kifuani.
MAKAMU WA PILI AFUNGUA SEMINA YA WABUNGE, ASISITIZA UWAJIBIKAJI
-
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais Mhe. Mhandisi Hamad Yussuf
Masauni(kushoto) akiteta jambo na Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Mhe.
Hemed Suleiman Ab...
1 hour ago


No comments:
Post a Comment