Pages

Saturday, April 14, 2012

SEMINA KWA WAJUMBE WA BARAZALA WAWAKILISHI KUHUSU MAANDALIZI YA SENSA YA WATU


Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Idi akitoa hotuba ya Ufunguzi wa Semina kwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kuhusiana na  Sensa ya Watu na Makaazi itakayofanyika Ogast 26/2012,Semina iliofanyika katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Mjini Zanzibar.
PICHA NA YUSSUF SIMAI MAELEZO ZANZIBAR.
Muakilishi wa Jimbo la Dimani na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk Mwinyihaji Makame akichangia jambo katika Semina kwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kuhusiana na  Sensa ya Watu na Makaazi itakayofanyika Ogast 26/2012,Semina iliofanyika katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Mjini Zanzibar.
 
Baadhi ya Waandishi waliohudhuria katika Semina ya  wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kuhusiana na  Sensa ya Watu na Makaazi itakayofanyika Ogast 26/2012,Semina iliofanyika katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Mjini .
 
Muakilishi wa Jimbo la Dole Shawana Bukheti akichangiajambo katika Semina kwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kuhusiana na  Sensa ya Watu na Makaazi itakayofanyika Ogast 26/2012,Semina iliofanyika katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Mjini
 
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Fedha na Mipango ya Maendeleo Omar Yussuf Mzee akitoa ufafanuzi wa Baadhi ya Masuala yalioulizwa na Baadhi ya Wajumbe waliohudhuria katika Semina kwa wajumbe wa Baraza la Wawakilishi kuhusiana na  Sensa ya Watu na Makaazi itakayofanyika Ogast 26/2012,Semina iliofanyika katika Ukumbi wa Baraza la Wawakilishi Mbweni Mjini

No comments:

Post a Comment