Pages

Monday, April 30, 2012

TRAFIKI IRINGA MPO ? BASI NUSURU LIUE ASUBUHI HII


Abiria wakishuka katika basi hilo baada ya kunusurika ajali

Hapa abiria wakijaribu kuzuia basi hilo la kampuni ya Upendo kwa mikono baada ya kutaka kugonga nyumba kwa kutokana na dereva kushindwa kukata kona
Basi hili kuu kuu linalofanya safari zake kati ya Iringa na Idete wilaya ya Kilolo asubuhi hii nusuru lisababishe ajali mbaya katika eneo la M.R barabara kuu ya Iringa -Dodoma mjini Iringa baada ya kushindwa kukata kona kutokana na ubovu wa basi hilo ,hivi Trafiki Iringa mnakagua mabasi haya ama mnangoja ajali zitokee ?

No comments:

Post a Comment