Ajali mbaya imetokea mjini Iringa asubuhi hii na kusababisha vifo vya watu watatu papo hapo huku abiria waliokuwemo katika fuso wakinusurika katika ajali hiyo .
Mashuhuda waliozungumza na mtandao wa http://www.francisgodwin.blogspot.com/
wamedai kuwa Taxi hiyo yenye namba za usajili T620 ANE ilikuwa ikitokea
Ndiuka ikiwapeleka wafanyakazi wa barabara katika eneo la Tanangozi
am,bako ujenzi wa barabara kuu ya Iringa -Mbeya uinaendelea
No comments:
Post a Comment