Pages

Wednesday, June 6, 2012

GARI JINGINE LA KIFAHARI LINALOMILIKIWA NA MWIMBAJI JOSE CHAMELEONE WA UGANDA.

.
Magari ya Jose Chameleone yakiwa parking nyumbani kwake, Uganda na Kenya ndio naona kibali kinatolewa kwa watu kutumia majina yao badala ya namba kwenye magari, kwa bongo bado naendelea kufatilia.
.
Mastaa wa Uganda ndio wanaongoza kwa kuishi maisha ya kifahari Afrika Mashariki kutokana na deals kibao zinazowalipa vizuri kama matangazo, showz na deals nyingine.

No comments:

Post a Comment