Pages

Monday, June 25, 2012

MWANAFUNZI WA CHUO KIKUU SUA ATUPA MTOTO MCHANGA CHOONI


  HIKI ndio kichAnga cha kiume kinachodaiwa kutupwa Chooni na msomi wa chuo kikuu cha kilimo cha Sokoine[SUA]
 Askali hao wakieleka kwenye gari na mwili wa marehemu huyo waliyemshika mkononi

 MMOJA wa mashuhuda wa tukio hilo akiangua kilio kwa uchungu baada ya polisi kukiweka kiumbe hicho kwenye mfuko warambo na kutoweka nacho
Hili ndilo shimo ambalo kichanga hicho kilikutwa akikiwa tayari kimeshakufa

No comments:

Post a Comment