Rais Kikwete akiwa na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue na Naibu Waziri wa Kazi na Ajira Dkt Makongoro Mahanga (wa tatu kushoto) katika picha ya pamoja PICHA NA IKULU |
Kamishna Sauli Herbert Kinemela akila Kiapo |
Mwenyekiti wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi Bw. Cornel Kananila Mtaki akila kiapo |
Kamishna Mary Cresent Massay akila kiapo |
Kamishna Evod Paul Mushi akila kiapo |
Kamishna Yahya Kitambazi Msigwa akila kiapo |
Rais Kikwete katika picha ya pamoja na Makamishna wapya wa Tume ya Usuluhishi na Uamuzi baada ya kuwaapisha |
Kamishna Salma Abdi Chande akila kiapo |
No comments:
Post a Comment