Linex
jana jioni hadi usiku wa kuamkia leo alikuwa pande za Kunduchi Beach
Hotel akishuti video yake mpya na kampuni ya video inayojulikana kwa
jina la Visual lab chini ya Dir Adam Juma. Wimbo ambao ulikuwa
ukishutiwa unajulikana kwa jina la AIFORA ambao umetengenezwa katika
studio zilizopo Kibaha chini ya Producer Fundi Samweli
UEFA EUROPA LEAGUE INAPIGWA LEO NA MKWANJA UPO WAKUTOSHA
-
UNAAMBIWAJE!! Michuano ya Uefa Europa league itapigwa leo Alhamisi na timu
mbalimbali zitatupa karata zao uwanjani kutafuta alama, Huku wewe ukiwa na
naf...
7 hours ago
No comments:
Post a Comment