Kuna rumorz kitaani kuwa kundi la
wakali kwanza ambalo liliwahi kufanya vizuri kwenye music biz tanzania,
nazungumzia kwenye mwaka 2006 -2009, baadae jamaa wakapotea ,
nawazungumzia kina Josline, Makamua na Q –Jay, sasa hivi jamaa
wamejikusanya tena wakaingia studio, baada ya hapo wakapiga kichupa,
tayari nimeshakichungulia ingawa video bado haijatoka, wapo wote kasoro
mtu mmoja tu na pengo lake limezibwa na mwanadada Kekuu kutoka r
chuga na mmoja wa member ambae hayupo Wakali kwanza ni Q.
MABONDIA ZAIDI YA 10 WAPIMA AFYA KUELEKEA HOMA YA SGR
-
Zaidi ya mabondia 10 wamepima afya kuelekea pambano la ‘Homa Ya SGR’
itakayofanyika Oktoba 25 mwaka huu Mkoani Morogoro.
Mabondia hao ni Paul Kamata, Osama...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment