Habari zinasema waliofariki dunia walikua Wasomali
44 waliokuwa washafika mkoani Dodoma nchini Tanzania. Na marehemu
wengine ni ya wasomali 22 ambao wote imebidi wazikwe hapa hapa Tanzania
kwa sasa kwenye makaburi ya kola mkoani Morogoro, na wengine 22 wamezikwa mkoani Dodoma,huku wenzao wengina waliokolewa katika janga hilo.
MHE. PINDA AKUTANA NA VIONGOZI WA TUME HURU YA UCHAGUZI YA BOTSWANA
-
Mkuu wa Misheni ya Uangalizi wa Uchaguzi ya Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa
Afrika (SADC -SEOM) nchini Botswana, Mhe. Mizengo Pinda amekutana na
kuzungumza...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment