Pages

Sunday, July 1, 2012

TAKATAKA ZATAPAKA OVYO DAR



Dar es Salaam inafahamika kwa kuwa mji mkubwa Tanzania kwanini usiwe mfano wa kuwa unatunza mazingira.??? MULTINET imeshindwa kwa nini tusiikubali Green Waste Pro Ltd kufanya usafi wa jiji letu na miji mingine hapa nchini.
Tuipende nchi yetu na tuwe wa kweli kwenye nafsi zetu, usafi unaanza kwa nini.? Kwa mtu mmoja nyumbani kwake tunakuanzishia ubora nyumba kwa nyumba tukaribishe. Pichani ni barabara ya Jamhuri karibu na kituo cha mafuta BP kama kamera yetu ilivyokuta lundo la uchafu usiku huu.

Green is Good.!(G G).
Huu ni Mtaa wa Libya.
Barabara ya Morogoro karibu na Makao Makuu ya Ofisi za Mohammed Enterprises Ltd pako hivi.
Barabara ya Shabaan Robert karibu na Umoja House.
Barabara ya India nyuma ya TTCL House. NA FATHER KIDEVU

No comments:

Post a Comment