Lile shindano la Bibi Bomba lilokuwa likiendeshwa na Clouds TV
limefikia kilele chake dakika chache zilizopita na Bibi Veronica
Mpangala kuibuka mshindi kwa kuwazidi wenzake kwa mbali sana kama graph
inavyoonesha kwenye picha zinazo endelea. Bi Veronica amejishindia Tsh
5,000,000/= pamoja na zawadi nyingine. Nafasi ya pili imeshikwa na Anna
Said a.k.a Mzee wa Dongo na kupata Tsh. 3,000,000/= wakati nafasi ya
tatu ikishikwa na Bi. Nasra Mohamed ambaye ameshinda Tsh. 1,500,000.
Washiriki wengine walioingia kwenye 8 bora walijipatia zawadi ambazo
hazikutajwa.
WENYEVITI WA BODI /BODI ZA SEKTA YA UCHUKUZI SIMAMIENI MIRADI NA
KUHAKIKISHA INAKAMILIKA KWA MUDA NA KWA UBORA UNAOSTAHILI.
-
Na. Vero Ignatus, Arusha
Serikali imesema kuwa idadi ya mizigo inayopita Bandari ya Dar -es -salaam
kwenda nchi nyingine imeongezeka kutoka tani Million 5....
3 hours ago
No comments:
Post a Comment