PLZZZZZ
PLZZZ WAPENDAWA WANGU NIMESHATOA WIMBO WANGU MPYWA AMBAO UNAITWA ...
SIJUTI KWA NILIEMPATA... naombeni sana sana sapoty yenu kwa kila
mtavyoweza na mi naamini ni kali sana ila pia mnipe maoni yenu..ili
niweze kujuwa wapi nilikosea..... ila binafsi naamini ni kiboko na video
yake inafata soon... nawapenda sana naenda LONDON ... nikirudi
nitawajuza and msiache kupata wimbo wangungu ingi apa .... na uipe
sapoty... aya twende ...http://bit.ly/MK31M5
http://bit.ly/MK31M5
dl.dropbox.com
No comments:
Post a Comment