Pages

Tuesday, August 14, 2012

TAIFA STARS YAONDOKA JANA USIKU KUELEKEA GABORONE - BOTSWANA



Timu ya taifa ya soka ya Tanzania - Taifa Stars usiku wa kuamkia leo imesafiri kuelekea jijini Gbarone Botswana kwa ajili ya kucheza mchezo wa kujipima nguvu na timu ya nchi hiyo.

Nahodha wa timu hiyo Juma Kaseja akiingia uwanja wa ndege tayari kwa safari ya kuelekea Botswana

Watoto wa Msimbazi hao, Haruna Moshi Boban na Ramadhan Chombo wakiwa na mabegi tayari kuiacha ardhi ya Tanzania na kwenda Botswana kutetea bendera ya nchi yao.

No comments:

Post a Comment