Mmoja
wa wafuasi wa kikundi cha waislamu wenye imani kali akidhibitiwa na
polisi mara baada ya kukamatwa leo katika kituo kikuu cha polisi Kati
wakijaribu kuandamana ili kushinikiza kiongozi wao Katibu wa Taasisi za
Kiislamu Shekh Ponda Issa Ponda kuachiwa na jeshi la polisi mara baada
ya kukamatwa jijini Dar es salaam kwa kudaiwa kusababisha vurugujijini
Dar es salaam.(picha kutoka fullshagwe.blogspot.com)
JAMII YAASWA KUENDELEA KUCHUKUA TAHADHARI KUJIKINGA NA MAGONJWA YA MLIPUKO
-
Jamii imeaswa kuendelea kuchukua tahadhari za kujikinga na Magonjwa ya
mlipuko ikiwemo Marburg.
Hayo yamebainishwa na Afisa Lishe kutoka Halmashauri ya W...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment