Hodihodi KIBAHA! WANACCM NA WANANCHI
WOTE WA MIKOA YA DSM, PWANI NA MORO, NAWAKARIBISHA KTK MKUTANO WA
HADHARA NITAKAOHUTUBIA KIBAHA. NJOO UPATE UKWELI, UPATE MATUMAINI UANZE
MWAKA VIZURI. NITAWAPOKEA MADIWANI WAWILI WANAOHAMIA CCM TOKEA CHADEMA.
TAYARI DIWANI WA IHANJA AMEJIUZURU JANA UDIWANI KWA KUKATAZWA KUSHIRIKI
SHUGHULI ZA MAENDELEO NA VIONGOZI WA CHADEMA TAIFA. NITAHIMIZA SHUGHULI
ZA MAENDELEO, KUKAGUA MIRADI NA PIA NITAONGELEA WABUNGE SABA 7 WA
CHADEMA WALIOOMBA KUHAMIA CCM TOKEA CHADEMA NA MAMBO YALIOWASIBU.
NHC YAUNGA MKONO MAENDELEO YA UNUNUZI NA UGAVI KUPITIA KONGAMANO LA KITAIFA
-
ARUSHA-Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) linashiriki katika Kongamano la 16
la Mwaka la Wataalam wa Ununuzi na Ugavi jijini Arusha.
Kongamano hilo ambal...
1 hour ago

No comments:
Post a Comment