Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Sunday, December 2, 2012

SERENGETI BOYS YABUTULIWA 2 BILA HUKO CONGO YASHINDWA KUFUZU




  Serengeti boys imeshindwa kufuzu kucheza fainali za kombe la mataifa ya Afrika kwa vijana baada ya kufungwa magoli MAWILI kwa BILA na CONGO BRAZAVILLE , mpira umemalizika



Ikumbukwe Serengeti Boys katika mchezo wa awali hapa nyumbani wiki mbili zilizopita iliifunga CONGO BRAZAVILLE goli MOJA kwa BILA , hivyo imeoondoshwa kwa AGG 2-1.

No comments:

Post a Comment