Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Saturday, January 5, 2013

Boti ya Mv Yarabi Tunusuru imezama na watu 9 wamefariki dunia. -ANGALIA VIDEO

Watu tisa wamekufa , kumi na wawili hawajulikani walipo na sitini na wanne wameokolewa baada ya boti ya Mv Yarabi Tunusuru Waliyokuwa wakisafiria katika ziwa Tanganyika kutoka Kirando mkoani Rukwa kwenda Kongo DRC kupitia kupinduka na kuzama katika Kijiji cha Herembe wilayani Uvinza mkoani Kigoma Ijumaa usiku. source ITV

No comments:

Post a Comment