Mtandao
wa Ghafla Kenya uliripoti siku kadhaa zilizopita kwamba video ya P Unit
na Collo – ‘U guy’ imefungiwa na kituo maarufu cha TV nchini Kenya
(Citizen) kutokana na kuwa na picha zinazochochea ngono na ambazo
hazifai kwa kituo kama hicho, huyu ndio mrembo ambae inaaminika
amesababisha hiyo video kufungiwa.
source millard ayo
No comments:
Post a Comment