Kamanda
wa Brigedia nyuki Brigedia General Sharif Sheikh, akiwa pamoja na
Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif, wakifurahia mwenendo
mzima wa matayarisho ya gwaride la Vikosi vya Ulinzi yaliyokuwa yakifanyika katika uwanja wa amani MJINI Zanzibar.
Makamu
wa Pili wa Rais wa Zanzibar ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya Taifa
ya sherehe na mapambo Balozi seif, akiwa na Waziri wake Kulia Mh. Mohd
Aboud Mohd na Kamanda wa Brigedia Nyuki Brigedia General Shjarif Sheikh
wakiangalia matayarisho ya mkwisho ya gwaride la sherehe za mapinduzi
katika uwanja wa amani Mjini Zanzibar.
'Watoto
wa Kazi' Kikosi Maalum cha Jeshi la Wananchi wa Tanzania { JWTZ },
Kikionyesha umahiri wake ndani ya Uwanja wa amani wakijiandaa na sherehe
za maapinduzi zinazofanyika kesho Jumamosi Tarehe 12 Januri 2013,
katika uwanja huo.
Msanii
wa Kikundi cha Utamaduni cha Hiari ya Moyo kutoka Mkoani Domoma
kikipasha moto kujiandaa na utoaji burdani kwenye sherehe za
maaadhimisho ya kutimia miaka 49 ya mapinduzi ya Zanzibar zitakazofikia
kilele chake januari 12 2013.
Kikundi
cha Utamaduni ya mchanga mdogo kisiwani Pemba kikitoa burdani ya ngoma
ya msewe katika matayarisho ya maadhimisho ya sherehe za kutimia Mikaka
49 ya Mapinduzi ya Zanzibar hapo Uwanja wa Amani.
No comments:
Post a Comment