Picha
hii imekua ikisambaa kwenye mitandao ya kijamii wakidai kuwa huu
ndiyo utakua muonekano wa daraja la Manzese. ....
Mdau wa tulonge amejaribu kufanya
uchunguzi kugundua kuwa hii ni project ambayo ilipangwa kufanywa na
wachina
huko Thailand mwaka 2010.....
Mimi binafsi pia sijawahi sikia serikali ikisema kuwa huu ndiyo utakua
muonekano wa daraja la Manzese na Morogoro road kwa ujumla.....
Kama kuna mdau anafahamu mengi kuhusu hili atujuze ili tusije tukawa
tunadanganyana na kufarijiana.....
..
No comments:
Post a Comment