Social Icons

IMETOSHA

IMETOSHA

Thursday, January 10, 2013

WAFANYAKAZI WA KIWANDA WA MAGUNI MOROGORO WAPAMBANA NA WALINZI WAO



 Baadhi ya wafanyakazi wa kiwanda cha maguni wakipambana na walinzi wa kiwanda hicho ambao waliwazuia wapiga picha wa l.T.V na mpiga picha wa Mtandao huu.picha wafanyakazi hao wakimkwida mlizi wa mtandao huu akimzuia mpiga picha wa I.T.V aliyeshika kamera wakatia timbwili hilo likiendela mpiga picha wa mtandao huu alikuwa bize kupiga picha tukio hilo.
 Mmoja wa wawafanyakazi wa kiwanda hicho aliyefahamika kwa jina la Manka Mushi ambaye alioneka kuwa mstali wa mbele kutetea maslai yake na ya wenzake akiwa chini ya ulizi mkali wa maaskali wa kiwanda hicho.
Kufutia hali hiyo baadhi ya wafanyazi hao waliamu kupiga simu kwa mwandishi wa mtandao huu ambaye alifika eneo la tukio na mwandishi mwenzake wa l.T.V baada ya waandishi hao kufika wafanyazi hao walilipuka kwa furaha na kumu kulisukuma geti hilo kwa lengo la kuwapitisha waandishi hao
    Wafanyazi hao kwa umoja wao walifanikiwa kulivunja geti hilo na kuingia ndani
 Hata hivyo katika hali ya kushangaza walinzi wa kiwannda hicho waliwazuia waandishi hao kuingia ndani ya kiwanda hicho jambo ambalo lilipingwa vikali na wafanyakazi hao.
 Kufutia walinzi hao kuwa wachche walizidiwa nguvu na kundi la wafanyazi hao ambao walifanikiwa kuwapitisha waandishia ambao hadi ofisi ya meneja wa kiwanda hicho ambaye inasemeka ndiye aliyetoa amari ya waandishi hao kutoluhusia kuingia ndani ya kiwanda hicho
 Katika hatua nyingian wakatin wafanyazi wazawa wakidai mafao yao wafanyakazi wa kigeni[Wachini] walimu kuingia ndani ya basi dogo la kiwanda hicho na kutoka nje
                                Basi la kiwanda hicho likiwaondoa wachina hao
                     Manka akiwaongza waandioshi hao ofisi ya meneja wa kiwanda hicho.
Baada ya waandishi hao kuingia ndani ya kiwanda hicho kwa mbinde walishuhudia baadhi ya wafanyazi wengine wakiendele na kazi ya kusindika maguni kwenye kiwanda hicho.,Wakizungumza na waandishi hao wafanayakazi hao waliofura hasira walidai kwamba kutokana na kiwanda hicho kukabiliwa na ukata mkali uongozi uliamua kuwapunguza kazi baadhi ya wafanyazi na kuahidi kuwalipa mafao yao ndani ya wiki moja.

'Wametuambia ijumaa tuje kuchukua mafao wetu tulipofika hapa wametuambia tuje jumamosi ya wiki nyingine ndio leo tumekuja wanatuambaie tuje jumatao huu ni usanii wanaotuletea mimi nimetoka moshi kuja kutafuta sikuja kuuza sura hapa hatuondoki mpaka tulipwe jasho letu'aliseme Manka Mushi kwa jazba kali ,audifacejackson.blogspot.com.Kwa mujibu wawafanyazi hao uongozzi huo umekuwa ukiwazungusha kuwalipa mafao yao hayo hivyo kuamu kudai haki yao kwa nguvu.

Waandishi walifika ofisni kwa meneja wa kiwanda hicho kwa lengo la kusiki akauli ya uongozi wa kiwanda hicho zidi ya madaia ya wafanyakazi hao,hata hivyo katika hali ya kushangaza meneo ja huo alioneka kuwakwepa waandishi hao kwa kutokea mlango wa nyumba..
Wafanyazi hao walidai kwamba kiwanda hicho kina milikiwa na mbunge mmoja kutoka kanda ya kati ambaye pia ni mfanyabiashra maafuru jijiji Dar es salaama

No comments:

Post a Comment