Rapper
Chidi Benz, amempiga Cow Bama a,k,a Ngwea nje ya Ambassador Lounge
ikiyoko Mkapa tower, posta, usiku wa kuamkia leo.ugomvi huo ulitokea
baada ya Chidi
kumzingua
Dully alipokua akiingia, ambapo mwisho wake aliamua kuondoka.
Alipoondoka Dully Ngwea akamuuliza inakuaje unamzingua kubwa lao, ndipo
Chidi alipopaniki na kuanza kutoa lugha chafu huku akitaka
kutokumsikiliza Ngwea, inasemekana Ngwea aliamua kukaa kimya lakini
Chidi aliendelea kuOngea kwa hasira na kusema "ndio nimemzingua kwani
yeye nani" na kumbadilikia Ngwea
BALOZI NCHIMBI ATOA SOMO UVCCM
-
-Awataka kushindana kwa hoja, akiwakabidhi jukumu zito Serikali za Mitaa
-Asema “CCM itawashinda kwa namna ambavyo hawajawahi kushindwa”
Katibu Mkuu wa Cha...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment