Kama
siku mbili tatu hizi mwanadada Komando Lady Jay Dee (Jide) ambae
anafanya fresh na ngoma yake ya Joto Hasira akiwa na Prof. Jay
ameonekana akifunguka na kutoa ya moyoni, issue kubwa ni kuhusu nyimbo
zake kutopigwa na kituo flani cha radio, leo amefunguka zaidi na kutaja
wasanii wawili ambao walikatazwa kufanya show Nyumbani Lounge sehemu
ambayo inamilikiwa na Jide.
Kamati ya Bunge ya Afya, UKIMWI yaipongeza Barrick Bulyanhulu kuzingatia
kanuni za afya7
-
*Naibu Waziri wa Madini, Dk. Steven Kiruswa.*
*Mwenyekiti wa Kamati, Hassan Mtenga.*
*Mkuu wa mkoa wa Shinyanga Anamringi Macha akiongea katika kikao cha
w...
26 minutes ago
No comments:
Post a Comment