Kama
siku mbili tatu hizi mwanadada Komando Lady Jay Dee (Jide) ambae
anafanya fresh na ngoma yake ya Joto Hasira akiwa na Prof. Jay
ameonekana akifunguka na kutoa ya moyoni, issue kubwa ni kuhusu nyimbo
zake kutopigwa na kituo flani cha radio, leo amefunguka zaidi na kutaja
wasanii wawili ambao walikatazwa kufanya show Nyumbani Lounge sehemu
ambayo inamilikiwa na Jide.
JAB kusimamia pia Mfuko wa Mafunzo kwa Waandishi-Wakili Kipangula
-
Na Mwandishi wetu, JAB.
Kaimu Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari, Wakili
Patrick Kipangula amesema mbali na kutekeleza majukumu...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment