Pages

Monday, April 22, 2013

SUAREZ AOMBARADHI KWA KUMNG`ATA IVANOVIC,TAZAMA JINSI ALIVYOMNG`ATA.


15 ac15e
Mshambuliaji wa Liverpool Luis Suarez ameomba radhi kutokana na kitendo chake cha kumng'ata mkononi beki wa Chelsea Branislav Ivanovic wakati timu hizo mbili zilipocheza jumapili jioni kwenye mchezo wa ligi kuu soka nchini Uingereza.
16 a79f9
Ivanovic akimuonyesha mwamuzi alivyong'atwa:CHANZO BBC






No comments:

Post a Comment