Siku
moja baada ya kituo cha ITV kuonesha mzozo uliosababisha askari wa
usalama barabarani kuwa katika wakati mgumu kutokana na kukunjwa na raia
wakati akiamua ugomvi baina ya madereva wawili baada ya kutokea ajali ,
jeshi la polisi mkoa wa kipolisi Kinondoni limelaani na kutoa onyo kali
na kuongeza kuwa tukio hilo limelidhalilisha jeshi la polisi na kwamba
halivumiliki
WAKUU WA POLISI NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI ZAAHIDI KUSHIRIKIANA KUPAMBANA NA
MATUKIO YA UHALIFU MTANDAONI
-
Wakuu wa Polisi wa nchi za Afrika Mashariki na kati kutoka nchi sita
wameahidi kushirikiana kupamba na matukio ya uhalifu mtandaoni kwani
yameonekana k...
48 minutes ago
No comments:
Post a Comment