Jokate
aongea baada ya Diamond kukiri kuwa anajuta kumkosea na kuuvunja moyo
wake.Akiongea jinsi alivyomuumiza Jokate,Diamond alisema 'Kwasababu
alikuwa too innocent halafu hakuwahi kunikosea kitu chochote Jokate
kabisa,halafu nikamwingiza kwenye matatizo,watu wakamchukulia tofauti
kwamba 'Jokate kumchukua wema Boyfriend wake' wakati nilimfuata mimi
kama mimi, nilimtafuta mwenyewe halafu then nikawa niko naye halafu
ghafla nikarudisha mahusiano kwa wema.Sikujisikia vibaya halafu still
haikuwa vizuri sometimes nikikaaga hivi nasema nilimkosea.Kwa
upande wa Jokate anasema, Watu wengi hawajui the real issue,I'm grad
kama ame acknowledge I was innocent in that whole matter.
Benki ya CRDB Yatunukiwa Tuzo za 'Benki Bora' na 'Benki Salama' Tanzania na
Jarida la Global Finance
-
*Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela (kushoto),
akipokea tuzo ya 'Benki Bora Tanzania' kutoka kwa Joseph Giarraputo,
Mwanzilishi na M...
31 minutes ago
No comments:
Post a Comment