Kijana mmoja aliyefahamika wa kwa jina la
Kobero, leo asubuhi amekutwa akiwa amekufa kwenye chumba kimoja cha
nyumba ambayo ilikuwa haijamalizika kujengwa maeneo ya Kigogo Luhanga
jijini Dar es Salaam. Kwa mujibu wa mashuhuda wa tukio hilo, marehemu
alikutwa na chupa iliyokuwa na masalia ya pombe haramu aina ya gongo.
Mpaka paparazi wetu anaondoka eneo la tukio askari polisi walikuwa bado
hawajafika kwa ajili ya kuuchukua mwili na kuanza upelelezi wa tukio
hilo.
Shule ya Sekondari Viwandani yamshukuru Mbunge Mavunde kuboresha
miundombinu ya Elimu
-
Na. Faraja Mbise, VIWANDANI
Uongozi wa Shule ya Sekondari Viwandani wamshukuru Mbunge wa Dodoma Mjini,
Anthony Mavunde kwa kuboresha miundombinu ya shul...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment