mkataba wa makubaliano ya utendaji kazi kati ya Wakuu wa Mikoa na Mkatibu
Tawala wa Mikoa juu ya usimamizi wa miradi ya maji.Wa kwanza kulia aliyesima ni
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Eng.Christopher Sayi. Wakuu wa Mikoa na Makatibu
Tawala wametilianna saini mikataba hiyo ili kuhakikisha kuwa wanafutilia kwa karibu
Maendeleo ya Miradi ya Maji katika Mikoa yao.
mkataba wa makubaliano ya utendaji kazi kati ya Wakuu wa Mikoa na Mkatibu
Tawala wa Mikoa juu ya usimamizi wa miradi ya maji.Wa kwanza kulia aliyesima ni
Katibu Mkuu wa Wizara ya Maji Eng.Christopher Sayi. Wakuu wa Mikoa na Makatibu
Tawala wametilianna saini mikataba hiyo ili kuhakikisha kuwa wanafutilia kwa karibu
Maendeleo ya Miradi ya Maji katika Mikoa yao.
wakiwa na nyuso za furaha baada ya Wakuu wa Mikoa na Makatibu Tawala kutiliana saini
mikataba ya utekelezaji wa miradi ya Maji katika mikoa yao kwa kushirikana na Wakuuwa Wilaya
ili kuleta matokeo ya haraka na makubwa (Big Results Now)
No comments:
Post a Comment