Irene Uwoya hivi karibuni
amebadilisha jina lake la instagram na kuanza
kujiita Irenewaferegola8. Kama ulikuwa hujui Feregola8 ni msanii mkubwa
kama Farry Ipupa huko Congo. Hatujajua kama irene uwoya ni marafiki
wapya wazuri au Irene Uwoya ni moja kati ya mashabiki wakubwa wa
mwanamuziki wa Congo Fere Gola.
Serikali Sikivu Ingeyafanyia Kazi Maoni ya Wadau Kupata Sheria Bora za
Habari
-
Na. Najjat Omar
AZIMIO la Ulimwengu juu ya Haki za Binadamu (UDHR) la mwaka 1948 ndiyo
msingi mkuu wa maazimioyoteya haki za binadamu yaliyoridhiwa na mat...
12 minutes ago
No comments:
Post a Comment