Zanzibar Filim Festival bado inaendelea na msanii Elizabeth Michael maarufu kama Lulu amejikuta mwenye furaha tele baada ya kushinda tuzo ya Best Actress in Swahili Film kupita movie ya Woman of Principles ya RJ Company. Movie hiyo ambayo imeigizwa na Ray,Nagris Mohamed na Lulu mwenyewe, ilifanya vizuri mwaka jana na ni ilipata nafasi ya kuingia kwenye tuzo hizi za ZIFF. ZIFF ni tamasha kubwa sana Africa nzima huku likiwa kutanisha wadau mabalimbali wa filamu, inaonekana hii itakuwa ni kick ya Lulu kufunguka kimataifa zaidi baada ya kupata platform kama hii.
KADA WA CHADEMA AFUNGIWA MIEZi 6 LESENI YA UDEREVA
-
NA DENIS MLOWE,IRINGA
JESHI la polisi kitengo cha usalama barabarani mkoa Iringa kimemfungia
leseni ya Udereva kwa kipindi cha miezi 6 kuanzia tarehe 7...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment